August 5, 2025
Breaking News
Loading...

Advert

Saturday, January 16, 2016

Mkurugenzi wa kampuni ya six aburuzwa mahakamani.soma zaid.

Baada ya kampuni ya six telecom kufungiwa na serikali mkurugenzi wake pamoja na wafanyakazi 5 wamefikishwa kortin kwa tuhuma za uhujumu uchumi . ilifungiwa kwa tuhuma za kuikosesha serikali mapato zaidi ya shilingi billon7.6 kwa kutoza chini ya kiwango simu zinazo toka inje.chanzo jamii forums.

0 comments :

Post a Comment

Back To Top