Breaking News
Loading...

Advert

MICHEZO

MICHEZO

BURUDANI

BURUDANI

SIASA & JAMII KWA UJUMLA

SIASA & JAMII KWA UJUMLA

Recent Post

Monday, January 4, 2016
Selikari imedhamilia kuimarisha sekta ya afya.

Selikari imedhamilia kuimarisha sekta ya afya.

selikari kuendelea kudhamini afya ya wananchi imenunua machine mpya CT SCANE yenye dhamani ya sh.3.5b na kufungwa katika hospital ya taifa muhimbili.

Thursday, December 31, 2015
Diamond Platnumz-Utanipenda Behind The Scene Episode 5

Diamond Platnumz-Utanipenda Behind The Scene Episode 5

diomondi akishuti video yake mpya.utanipenda
Mr. Blue kuhusu Diamond kutumia jina la Simba

Mr. Blue kuhusu Diamond kutumia jina la Simba

Mjue January Makamba - Chachu ya maendeleo Bumbuli

Mjue January Makamba - Chachu ya maendeleo Bumbuli

With the beginning of this sentence, I have succumbed to admonitions from several quarters to “put my story out” now that I am a public figure. It has always felt presumptuous and vain to recount the story of my life in public. And there are a number of ways to do this: chronologically, anecdotally, and so forth. In any way that the story is told, my 36 years of living have been quite eventful, if not peripatetic.
I was born on 28 January 1974 to a young, polite and beautiful nursing course trainee and a very vibrant, loud and charming local government functionary (Katibu Tarafa): Josephine and Yusuf. Few months after my birth, my father was promoted to become a District Commissioner in Tanga. After three years, my mother went for further studies and my father went to join the military for Officer Cadet course in Tanzania Military Academy in Monduli. Me and my little brother were shipped to our village Mahezangulu, Lushoto, and later to our maternal grandmother who was living alone (my mother is a sole child and my grandma was widowed early) in a village around Kyaka – now Missenyi District – about 20 kilometres between the border of Uganda and Tanzania. After a year, Idi Amin invaded Tanzania and the Ugandan army occupied areas around our village: my grandma, my brother and I became refugees in displaced persons camp in areas further back from the border. Our mother made attempts to come get us but roads were closed around Biharamulo and people were not allowed to travel to the “war zone”. When the full war between Tanzania and Uganda broke out in 1978, my father, as an energetic new army lieutenant, was assigned to the frontlines – and therefore could not assist in getting us out of the refugees camp, until one day when he showed up in dirty uniforms soaked with rain commandeering an empty bus and got us permit to travel back to safe zone and reunite with our mother.
When the war ended, my father was moved to Dodoma to work for the (CCM) party. (My sister, Mwamvita, was born there and was named because of the remembrance of my father’s safe return from war). In our neighbourhood, my brother and I were the butt of the joke because as passenger planes flew in the skies above we would cry and ran to hid in the bushes – because of the trauma of bombardment of Ugandan warplanes. In 1981, we were moved to Monduli where in 1982 I started Standard I at Rasharasha Primary School. In primary school, I was nicknamed “January Makaptura” as my mother bought me oversized shorts so they could last a couple of years.
Thursday, October 29, 2015
WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI WAKISHANGILIA USHINDI KATIKA VIUNGA VYA JIJI LA DAR ES SALAAM

WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI WAKISHANGILIA USHINDI KATIKA VIUNGA VYA JIJI LA DAR ES SALAAM


DR. JOHN POMBE MAGUFULI NDIYE RAIS MTEULE WA AWAMU YA 5 TANZANIA

DR. JOHN POMBE MAGUFULI NDIYE RAIS MTEULE WA AWAMU YA 5 TANZANIA


Tume ya Taifa ya Uchaguzi -NEC imemtangaza Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi - CCM, Dokta JOHN POMBE MAGUFULI kuwa mshindi wa Urais kufuatia Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu.

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi  NEC Jaji mstaafu DAMIAN LUBUVA amemtangaza Dokta MAGUFULI kuwa amepata kura 8,882,935 sawa na asilimia 58.46 akifuatiwa na Mgombea wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA aliyepata kura 6,072,848 sawa na asilimia 39.97.

Mgombea ANNA ELISHA MGHWIRA wa Chama Cha ACT WAZALENDO amepata kura 98,763 sawa na asilimia 0.65, Mgombea wa ADC CHIEF LUTALOSA YEMBA amepata kura 66,049 sawa na asilimia 0.43, Mgombea HASHIM RUNGWE SPUNDA wa Chama Cha CHAUMMA amepata kura 49,256 sawa na asilimia0.32.

Mgombea KAMBALA JANKEN MALIK wa NRA amepata kura 8,028 sawa na asilimia 0.05, Mgombea LYMO MACMILLIAN wa TLP amepata kura 8,198 sawa na asilimia 0.05 ambapo Mgombea DOVUTWA FAHMI NASORO wa Chama Cha UPDP amepata kura 7,7785 sawa na asilimia 0.05.

Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu LUBUVA amesema wananchi 23,161,440 waliandikishwa kupiga kura ambapo wananchi 15,589,639 sawa na asilimia 67.31 wamepiga kura.

Jaji Mstaafu LUBUVA amesema kura halali zilikuwa 15,193,862 sawa na asilimia 97.46 huku kura 402248 sawa na asilimia 2.58 zikiwa batili.

Kutangazwa kwa Dokta MAGUFULI kumefuatia uhakiki na majumuisho ya kura zilizotangazwa kutoka majimbo ya uchaguzi 264 nchini kote kabla ya kumtangaza mshindi wa ngazi hiyo ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kabla ya kutangazwa kwa matokeo hayo mawakala wa vyama SABA vya siasa walisaini hati ya kukubali matokeo hayo ya urais.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kuwa hafla ya kukabidhi vyeti vya ushindi kwa washindi itafanyika tar 30/10/2015 Saa NNE Asubuhi katika Ukumbi wa DIAMOND Jijini DSM.
HUU NDIO USHAURI WA TUME YA HAKI ZA BINAADAMU  NA UTAWALA BORA KWA ZEC

HUU NDIO USHAURI WA TUME YA HAKI ZA BINAADAMU NA UTAWALA BORA KWA ZEC


Pichani ni Mwenyekiti wa Tume ya haki za binaadamu na utawala bora Ndugu Tom Nyanduga akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam
Image result for ushauri wa tume ya haki za binadamu kwa zec


Back To Top