Mh.Abdallah Possi sasa kukwea pipa kuelekea ughaibuni ambapo atakuwa balozi.soma zaid
IKULU, DAR: Rais Magufuli jana alimteua Dkt
Abdallah Possi kuwa Balozi. Kabla alikuwa ni N/
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi,
Vijana, Ajira na Walemavu.
- Tarehe ya kuapishwa na kituo cha kazi
kutangazwa hapo baadaye. Aidha nafasi ya N/
Waziri katika Wizara hiyo pia itajazwa baadaye.
0 comments :
Post a Comment