February 19, 2025
Breaking News
Loading...

Advert

Friday, July 15, 2016

TBS imefunga kiwanda cha kuchakata vilainishu Dar.soma zaid.

Shirika la viwango Tanzania -TBS limekifungia
kiwanda bubu cha kuchakata vilainishi ambacho
kipo katika eneo la temeke sambamba na
kumkamata mmiliki wa kiwanda hicho kwa
kukiuka misingi ya uendeshaji wa biashara ya
vilainishi.

0 comments :

Post a Comment

Back To Top