Luis Van Gaal astaafu rasimi ya kufundisha mpira.soma zaid
uis Van Gaal amestaafu
rasmi kazi hiyo kwa sababu za kifamilia.
Kocha huyu mwenye historia na rekodi
kadha wa kadha.
- Katika maisha yake ya soka amewahi
kuzinoa Klabu za Ajax Amsterdam,
Barcelona, Buyern Munich, AZ Alkmaar,
timu ya Taifa ya Uholanzi na Manchester
United.
0 comments :
Post a Comment