Msafara wa Lowassa wasimamishwa na wafanyabiashara ya ng'ombe Lusahunga Kagera.soma zaid
Waziri mkuu mstaafu na Mjumbe wa kamati kuu
ya CHADEMA Mh. Edward Ngoyai Lowassa
akiwasalimia wakazi na wafanyabiashara wa
Ng'ombe katika mnada Lusaunga, Biharamulo
akiwa njiani kuelekea mkoani Kagera ambapo
anakwenda kuendelea na ziara ya kichama katika
wilaya zote za mkoa huo.
0 comments :
Post a Comment